Kumekuwa na mfumo wa vyama vingi tangu mwaka 1992 na tayari
chaguzi zaidi ya mbili zimeshafanyika. Je kwa mtazamo wako unahisi mfumo wa
vyama vingi unatusaidia katika kujenga umoja wa kitaifa na kuleta maendeleo
katika nchi yetu? Hivi karibuni mungu akijaria nitafanya mazungumzo na baadhi
ya wanasiasa mashuhuri hapa Tanzania. Ili watupe mtazamo na uzoefu wao na katika siasa za Tanzania. Kaa nami ni wakati wa vijana kutoa sauti
na kujenga umoja wa kitaifa katika nchi yetu ili kusukuma gurudumu la
maendeleo.
isack!!! hongera!! I wish you would visit my school!!! We have been thinking about these issues a lot lately and sharing our work with our partner school in Lindi District!!
ReplyDelete