Thursday, April 4, 2013

Hivi Karibuni



Kumekuwa na mfumo wa vyama vingi tangu mwaka 1992 na tayari chaguzi zaidi ya mbili zimeshafanyika. Je kwa mtazamo wako unahisi mfumo wa vyama vingi unatusaidia katika kujenga umoja wa kitaifa na kuleta maendeleo katika nchi yetu? Hivi karibuni mungu akijaria nitafanya mazungumzo na baadhi ya wanasiasa mashuhuri hapa Tanzania. Ili watupe mtazamo na uzoefu wao na katika siasa za Tanzania. Kaa nami ni wakati wa vijana kutoa sauti na kujenga umoja wa kitaifa katika nchi yetu ili kusukuma gurudumu la maendeleo.

1 comment:

  1. isack!!! hongera!! I wish you would visit my school!!! We have been thinking about these issues a lot lately and sharing our work with our partner school in Lindi District!!

    ReplyDelete


Welcome to Youth Voice!

Follow this blog to hear from many different people every month. The youth of the world will send their views on politics, economics, society, the environment...anything! Tell us about what you've seen in the world. Tell us what you've heard. This blog will be for the youth to tell their stories from Alaska to Zanzibar!